Wasiliana nasi | MMM | Barua Pepe |

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mbeya
(Mkoani)

Huduma ya Kulaza wagonjwa

Posted on: June 8th, 2023

Idara ya Magonjwa ya Ndani

Idara ya magonjwa ya ndani ni idara inayohusika na kuzuia na kutibu magonjwa ya ndani kwa watu wazima.

Idara hii ina kliniki zifuatazo; kliniki ya ugonjwa wa presha ya kupanda, kliniki ya kisukari, kliniki ya wagonjwa wenye maambukizi ya vizuri vya ukimwi, na kliniki ya TB.