Wasiliana nasi | MMM | Barua Pepe |

Ukaribisho

profile

Dr. Abdallah M Mmbaga
Medical Officer Incharge (Director)

We are delighted to have you visit our online platform dedicated to promoting health, wellness, and medical information. At Mbeya Regional Referral Hospital, our mission is to provide you with reliable resources, expert guidance, and compassionate care to support your well-being journey...

soma ziadi

Huduma zetu All

Idara ya Magonjwa ya Ndani

Idara ya magonjwa ya ndani ni idara inayohusika na kuzuia na kutibu magonjwa ya ndani kwa watu wazima.

Idara hii ina kliniki zifuatazo; kliniki ya ugonjwa wa presha ya kupanda, kliniki ya kisukari, kliniki ya wagonjwa weny...

readmore

HUDUMA ZITOLEWAZO KATIKA KITENGO CHA WAGONJWA WA NJE HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA MBEYA

Katika idara ya wagonjwa wa nje tunahudumia wastani wa wateja 250 kwa siku. Tuna idadi ya kutosha ya wafanyakazi ikiwemo madaktari na wauguzi kwa kutoa huduma bora zi...

readmore

Huduma ya Afya ya Kinywa na Meno

  • Kungoa meno
  • Kungarisha meno
  • Kusafisha meno
  • Kuziba meno
  • Kuua kiini cha fahamu cha jino
  • Kunyosha mataya yaliyopinda
  • Kufunga taya liliovunjika
  • Kuweka meno ya bandia
  • Kutoa elimu ya afya ya kinywa na meno....
readmore

Matukio All

Muda wa kuona wagonjwa

Monday - Sunday

  • Kuanzia 06:30 hadi 07:15
  • Kuanzia 13:00 hadi 13:30
  • Kuanzia 16:30 hadi 17:30

Kliniki za leo All

health education All

IJUE HOMA YA INI

Ni ugonjwa unaosababishwa na virus aina ya hepatotrophic /hepatitis ambavyo hushambulia ini . virus ivyo hushambulia ini ambavyo vimegawanyika katika makundi 5 yaani A, B, C,D na E

HOMA YA INI INAYOSABABISHWA NA VIRUS VYA KUNDI A NA E

Huenezwa kwa n...

read more

Ministry Content All

Matangazo All