Wasiliana nasi | MMM | Barua Pepe |

All Clinics


IDARA YA MACHO.

Idara ya macho inatoa huduma zifuatazo;

  • Kuwaona wagonjwa wote wenye matatizo ya macho
  • Kutoa Elimu ya afya ya macho
  • Kupima vipimo vya miwani
  • Ushauri
  • Kufanya upasuaji wa jicho mkubwa na mdogo hasa mtoto wa jicho.
...

Hii ni kliniki inayohusika na kutibu wagonjwa wenye maambukizi ya virusi vya ukimwi pamoja na madhara yatokanayo na ugonjwa huo. Kliniki hii ipo kila siku kuanzia muda wa saa 3 asubuhi mpaka saa 9 na nusu mchana, pia kliniki ya jioni kuanzia saa 10 kamili...

Akina mama na akina baba wanapata huduma  za uzazi

Huduma zitolewazo:

  • Huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto ( Chanjo, Uzazi wa Mpango, Upimaji wajawazito na kufuatilia makuzi ya watoto)

Hii ni kliniki inayo husika na kutoa elimu ya kuzuia na kutibu ugonjwa wa kisukari pamoja na madhara yatokanayo  na ugonjwa huu. Kliniki hii inafanyika mara moja kwa wiki siku ya ijumaa muda kuanzia saa 3 kamili asubuhi mpaka saa 9 na nusu.

Kliniki hii inahusika na elimu ya kuzuia,kutibu ugonjwa wa presha ya kupanda pamoja na madhara yatokanayo na ugonjwa huu. Kliniki hii hufanyika mara moja kwa wiki siku ya jumatatu kuanzia saa 3 kamili asubuhi mpaka saa 9 na nusu mchana. Pia tunafanya kipi...

Kliniki hii inahusika na kutibu wagonjwa wenye maambukizi ya ugojnwa wa kifua kikuu. Kliniki hii ipo kuanzia jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 2:00 Asubuhi mpaka saa 9;30 Alasiri